Missouri (mto)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Missouri (mto)
Remove ads

Mto Missouri ni mto mkubwa wa Marekani na tawimto muhimu zaidi la Mississippi. Ni mto mrefu kushinda ule wa Missisippi na ni mto mrefu katika Amerika ya Kaskazini.

Thumb
Mto Missouri
Thumb
Ramani ya beseni ya Missouri

Chanzo cha mto kipo kwenye milima ya Rocky Mountains katika jimbo la Montana. Missouri inaendelea kupita majimbo ya North Dakota, South Dakota, Iowa, Nebraska, Missouri na Kansas.

Inaishia katika Missisippi karibu na mji wa Saint Louis, Missouri.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads