Shebeli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Shebeli
Remove ads

Shebeli (pia: Shabelle, Scebelli, Shabell, Shebele) ni tawimto la mto Juba linalobeba maji yake kutoka nyanda za juu za Ethiopia kuelekea Bahari ya Uhindi ingawa mara nyingi inakauka katika jangwa la Somalia kabla ya kufikia mdomo wake.

Thumb
Ramni inayoonyesha Mto Shebeli

Chanzo cha Shebeli kiko katika milima ya Batu (Ethiopia) takriban km 200 kusini kwa Addis Ababa.

Baada ya mwendo wa km 920 mto unaingia Somalia ikielekea Mogadishu. Karibu na mji unageukia kusini-magharibi na kufuata mstari wa pwani ya Bahari Hindi kwa umbali wa km 20-40 ndani ya bara.

Baada ya mwendo wa km 900 ndani ya Somalia lalio lake linaingia katika mto Juba lakini baada ya Mogadishu Shebeli ni kavu kwa sehemu kubwa ya mwaka.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads