Mto Simiyu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mto Simiyu ni mto wa Tanzania kaskazini ambao maji yake yanaingia katika ziwa Viktoria na hatimaye yanaelekea Bahari ya Kati kupitia mto wa Naili. Mdomo wake uko karibu na Magu Mjini. Tawimto muhimu ni mto Duma.

Ukweli wa haraka

Mkoa ambapo unapitia unapata jina kutoka kwake: Mkoa wa Simiyu.

Remove ads

Hidrometria

Kiasi cha maji yanayopita katika mto huu unabadilika kimajira kutegemeana na kiasi cha mvua. Vipimo viko kama / s (1999–2004).

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads