Mtumba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mtumba ni kata ya Dodoma Mjini katika Mkoa wa Dodoma, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 14,673 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17268 [2] waishio humo.

Makao makuu ya serikali

Eneo la Mtumba limechaguliwa kuwa na majengo ya makao makuu mapya ya serikali ya Tanzania. [3]. Eneo lililoandaliwa lina hektari 617 na wizara zote zimeshapokea viwanja mnamo Aprili 2019.[4]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads