Nabore

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nabore
Remove ads

Nabore alikuwa askari Mkristo kutoka Mauretania (katika Algeria ya leo).

Thumb
Mt. Nabore katika mozaiki ya kanisa la Mt. Vikta Mwafrika mjini Milano, Italia.

Tarehe 12 Julai 303 BK, huko Lodi Vecchio (Lombardia) aliuawa pamoja na Waberberi wenzake Vikta na Feliche[1]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na wengineo kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa siku ya kifodini chake[2][3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads