Nabore
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nabore alikuwa askari Mkristo kutoka Mauretania (katika Algeria ya leo).

Tarehe 12 Julai 303 BK, huko Lodi Vecchio (Lombardia) aliuawa pamoja na Waberberi wenzake Vikta na Feliche[1]
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na wengineo kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads