Nakumatt
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nakumatt ni mtandao wa maduka nchini Kenya. Ina maduka 18 kote nchini Kenya na inaajiri watu 3,200. Ina mipango ya kupanua maduka yake mpaka nchini Uganda, Rwanda na nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Nakumatt ni kampuni ya Kenya inayomilikiwa na familia na Atul Shah Hotnet Ltd.[1] [2]
Mnamo 23 Agosti 2008, Nakumatt ilifungua ghala yake ya kwanza nje ya Kenya katika Union Trade Center, mjini Kigali, Rwanda.[3]
Mauzo ya mwaka 2006 ilikuwa zaidi ya US $ 300m, iliyozidi kwa 150% ya mauzo ya mwaka uliopita.[4] Kampuni hii ilikuwa na madai ya kushiriki katika ukwepaji wa kulipa ushuru mwaka 2006, ingawa hadi sasa hakuna mashtaka yaliyopelekwa kortini.[5] Nakumatt ni ufupisho wa Nakuru Mattresses.[6]
Ghala moja ya Nakumatt mjini Nairobi ilichomeka kwa moto mkubwa mnamo 28 Januari 2009, na kuua watu 25.
Remove ads
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads