Nerei mfiadini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nerei mfiadini
Remove ads

Nerei ni Mkristo wa Roma ya Kale anayeheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini pamoja na Achilei.

Thumb
Watakatifu Nerei, Achilei na Domitila walivyochorwa na Peter Paul Rubens.

Habari zao zimesimuliwa na Papa Damaso I; kwamba walikuwa wamejiunga na jeshi, na kwa hofu walikuwa tayari kutii amri mbovu za hakimu, lakini kwa kumuongokea Mungu wa kweli, walitupilia mbali ngao, mavazi ya kijeshi na mikuki, waliacha kambi na kwa kukiri imani yao kwa Kristo, waliuawa [1].

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 12 Mei[2][3], siku ambayo maiti zao walizikwa katika makaburi ya Domitila mjini Roma.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads