Nnamdi Azikiwe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nnamdi Azikiwe
Remove ads

Benjamin Nnamdi Azikiwe (kwa kawaida hujulikana kama Nnamdi Azikiwe, au, kinyumbani na maarufu, Zik; 16 Novemba 190411 Mei 1996) alikuwa mwanzilishi wa nadharia ya siasa ya utaifa wa Nigeria na pia rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia wa Nigeria ya leo. Alishirikilia nafasi kama mwanajamhuri wa kwanza wa Nigeria.

Thumb
Sanamu ya Nnamdi Azikiwe huko Owerri

Azikiwe alifafanua siasa ya "Uziki" katika maandishi yake, kama vile: Renascent Africa (1973) na historia ya maisha yake: My Odyssey.

Thumb
Nnamdi Azikiwe

Uziki unategemea misingi mitano kwa ukombozi wa Afrika:

  • Uwiano wa kiroho[1]
  • Jamii kuzaliwa upya[2]
  • Nia katika uchumi[3]
  • Ukombozi wa akili[4]
  • Ufufuko wa kisiasa[5]
Remove ads

Tanbihi

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads