Numidiko

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Rutilio (alifariki Karthago, 251) alikuwa Mkristo wa Tunisia ya leo ambaye wakati wa dhuluma ya Decius, kaisari wa Dola la Roma, aliteswa na kuchomwa moto kwa imani yake.

Kidogo kabla hajafa, askofu Sipriani alimtoa motoni na kumpa upadrisho.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Agosti[1].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads