Nyehunge

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Nyehunge ni makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa nchini Tanzania.

Buchosa imekuwa wilaya mnamo mwaka 2016. Kwanza ilikuwa sehemu ya wilaya ya Sengerema, mkoa wa Mwanza.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 53,982 [1].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads