Wilaya ya Buchosa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wilaya ya Buchosa ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Mwanza, kaskazini mwa Tanzania.

Buchosa imekuwa wilaya mwaka 2016. Kwanza ilikuwa sehemu ya wilaya ya Sengerema, mkoa wa Mwanza.

Makao makuu ya wilaya yako kwenye mji wa Nyehunge.

Katika sensa ya mwaka 2022wakazi walihesabiwa 413,110 [1].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads