Wilaya ya Sengerema

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Sengerema
Remove ads

Wilaya ya Sengerema ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Mwanza yenye postikodi namba 33300.

Thumb
Mahali pa Sengerema (kijani cheusi) katika mkoa wa Mwanza kabla haujamegwa.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 663,034 waishio humo. [1] na katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 425,415 [2].

Makao makuu ya wilaya yako kwenye mji wa Sengerema wenye kata nne za Ibisabageni, Mwabaluhi (Mwambului), Nyampulukano na Nyatukala.

Misimbo ya posta katika wilaya hii inaanza na tarakimu 333.

Kuna Telecentre Wilayani Sengerema. Ipo kwenye kwenye makutano ya barabara za Kamanga na Busisi.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads