Odo wa Urgell

From Wikipedia, the free encyclopedia

Odo wa Urgell
Remove ads

Odo wa Urgell (Sort, Lerida, Hispania, 1064 hivi - Urgell, Hispania, 7 Julai 1122) alikuwa askofu wa mji huo wa Katalunya tangu mwaka 1095 hadi kifo chake.

Thumb
Sanamu ya Mt. Odo katika kanisa kuu la Urgell.

Alichaguliwa na waumini kwa mashangilio akiwa bado mlei, halafu akathibitishwa rasmi.

Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu kutokana na wema wake kwa wote, hasa maskini aliowatetea kwa bidii[1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads