Omobono

From Wikipedia, the free encyclopedia

Omobono
Remove ads

Omobono (Cremona, Lombardia, Italia, karne ya 12 - Cremona, 13 Novemba 1197) alikuwa mfanyabiashara Mkristo maarufu kwa kuishi miaka mingi kwa sala, toba, kusaidia maskini kwa huruma, kupokea na kulea vijana wasio na ndugu, na kuleta amani kati ya watu, hasa katika familia[1].

Thumb
Mt. Omobono Tucenghi.

Utakatifu wake ulithibitishwa na Papa Inosenti III tarehe 13 Januari 1199.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads