Oriensi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Oriensi (kwa Kifaransa: Orens; kwa Kilatini: Orientius; alifariki Auch, leo nchini Ufaransa, 450 hivi) alikuwa askofu wa mji huo na mshairi.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Maisha
Oriensi aliongoka baada ya kuishi katika dhambi akawa askofu mwenye sifa katika uchungaji wakati wa fujo zilizotokana na uhamaji wa makabila ya Kigermanik, akijitahidi kujenga amani kati yao na wenyeji, pamoja na kung'oa Upagani[2][3].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads