Ositha

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ositha
Remove ads

Ositha (pia:Osgyth, Osyth, Sythe na Othith; alifariki 700 hivi) alikuwa binti wa ukoo wa kifalme wa Mercia.

Thumb
Mchoro mdogo katika "La Vie seinte Osith, virge e martire" (Campsey Manuscript, British Library Additional Ms 70513, fol. 134v).

Mzaliwa wa Quarrendon, Buckinghamshire alilelewa katika monasteri hukon Warwickshire chini ya mtakatifu Modwen akatamani kuwa abesi, lakini alilazimishwa na baba yake Mpagani kuolewa na mfalme Sighere wa Essex akamzalia mtoto wa kiume.

Baadaye akaweka nadhiri za kimonaki akaanzisha monasteri huko Chich, Essex, akaiongoza hadi kifo chake ambacho kilihesabiwa kama kifodini[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimisha tarehe 7 Oktoba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads