Paladi wa Auxerre

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Paladi wa Auxerre (kwa Kilatini: Palladius; karne ya 7 - Auxerre, leo nchini Ufaransa, 10 Aprili 658 hivi) alikuwa abati[1] halafu askofu wa 20 wa mji huo kuanzia mwaka 622 hadi kifo chake[2].

Alishiriki mitaguso mbalimbali na kupigania maadili na nidhamu katika Kanisa [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Aprili[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads