Papa Klementi IV

Papa (1265-1268), muangalizi wa Roger Bacon & Thomas Aquinas From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Klementi IV
Remove ads

Papa Klementi IV (23 Novemba mwaka usiojulikana – 29 Novemba 1268) alikuwa Papa kuanzia tarehe 5/22 Februari 1265 hadi kifo chake[1]. Alitokea Saint-Gilles, Ufaransa[2].

Thumb
Papa Klementi IV.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gui Foulques.

Alimfuata Papa Urbano IV akafuatwa na Papa Gregori X.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads