Papa Klementi IV
Papa (1265-1268), muangalizi wa Roger Bacon & Thomas Aquinas From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Klementi IV (23 Novemba mwaka usiojulikana – 29 Novemba 1268) alikuwa Papa kuanzia tarehe 5/22 Februari 1265 hadi kifo chake[1]. Alitokea Saint-Gilles, Ufaransa[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gui Foulques.
Alimfuata Papa Urbano IV akafuatwa na Papa Gregori X.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads