Papa Gregori VI
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Gregori VI (alifariki 1048) alikuwa Papa kuanzia tarehe 1 Mei 1045 hadi 20 Desemba 1046[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Johannes Gratianus.
Alipata upapa kutoka kwa Papa Benedikto IX.
Baadaye alilazimishwa kujiuzulu, akafuatwa na Papa Klementi II.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads