Papa Benedikto IX
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Benedikto IX (1012 hivi – mwishoni mwa 1055 au Januari 1056) alipata kuwa Papa mara tatu: ya kwanza tangu Agosti/Septemba 1032 hadi Septemba 1044, ya pili tangu 10 Machi hadi 1 Mei 1045, na ya tatu tangu Oktoba 1047 hadi Agosti 1048[1].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Theophylactus wa ukoo wa watawala wa Tusculum, Roma, Italia[2]..
Alimfuata mara ya kwanza Papa Yohane XIX, ya pili Papa Silvester III, na ya tatu Papa Klementi II.
Kila mara alifukuzwa madarakani kwa sababu ya matendo yake maovu[3] ila mara moja aliuza cheo chake, tendo la pekee kabisa katika historia ya Kanisa[4].
Hatimaye alifuatwa na Papa Damaso II[5].
Remove ads
Tazama pia
Maandishi yake
- Opera Omnia ilivyotolewa na Migne katika Patrologia Latina pamoja na faharasa
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads