Papa Gregori XII

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Gregori XII
Remove ads

Papa Gregori XII (kwa Kilatini: Gregorius XII; kwa Kiitalia: Gregorio XII; 1326/1345 - 18 Oktoba 1417) alikuwa Papa kuanzia tarehe 30 Novemba/19 Desemba 1406 hadi tarehe 4 Julai 1415 chake[1]. Alitokea Venezia, Italia[2].

Thumb
Papa Gregori XII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Angelo Corraro, Corario, au Correr.

Alimfuata Papa Inosenti VII. Alikubali kujiuzulu ili kumaliza Farakano la Kanisa la Magharibi (Western Schism) akafuatwa na Papa Martino V.

Baada ya kupinga madai ya wapinzani wake, Papa Benedikto XIII wa Avignon na mapapa wa Pisa, Alexander V na Yohane XXIII, akitamani kuleta umoja ndani ya Kanisa, kwa hiari yake alijiuzulu mnamo 1415 ili kumaliza mpasuko huo. [3]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads