Papa Innocent VII

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Innocent VII
Remove ads

Papa Innocent VII (takriban 13366 Novemba 1406) alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Oktoba/11 Novemba 1404 hadi kifo chake[1]. Alitokea Sulmona, Italia[2].

Thumb
Papa Inosenti VII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Cosma Migliorati.

Alimfuata Papa Bonifasi IX wakati wa Farakano la Kanisa la Magharibi, akafuatwa na Papa Gregori XII.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads