Papa Urban II
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Urban II, O.S.B. (1042 – 29 Julai 1099) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Machi 1088 hadi kifo chake[1]. Alitokea Chatillon-sur-Marne, Ufaransa[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Odo wa Lagery.
Alimfuata Papa Vikta III akafuatwa na Papa Paskali II.
Papa Leo XIII alimtangaza mwenye heri.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads