Papa Urban II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Urban II
Remove ads

Papa Urban II, O.S.B. (104229 Julai 1099) alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Machi 1088 hadi kifo chake[1]. Alitokea Chatillon-sur-Marne, Ufaransa[2].

Thumb
Papa Urban II.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Odo wa Lagery.

Alimfuata Papa Vikta III akafuatwa na Papa Paskali II.

Papa Leo XIII alimtangaza mwenye heri.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads