Papa Yohane XIX

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Yohane XIX
Remove ads

Papa Yohane XIX alikuwa Papa kuanzia tarehe 19 Aprili 1024 hadi kifo chake mnamo 1032[1].

Thumb
Papa Yohane XIX.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Romanus wa ukoo wa watawala wa Tusculum, Roma, Italia[2].

Alimfuata Papa Benedikto VIII akafuatwa na Papa Benedikto IX.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads