Pasiano
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Pasiano (Hispania, 310 hivi - Barcelona, Hispania, 391 hivi) alikuwa askofu wa 2 wa mji huo kuanzia mwaka 365 hadi kifo chake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu na babu wa Kanisa[1].
Maisha
Aliwahi kuoa na kuzaa mtoto aliyefanya kazi ikulu.
Jeromu alisifu maisha yake matakatifu pamoja na usafi wa moyo, ujuzi na ufasaha[3].
Katika kuhubiri alikuwa akisema jina lake ni Mkristo na ubini wake ni Mkatoliki[4][5].
Maandishi
Aliandika kuhusu mada mbalimbali, lakini vimetufikia kitabu kimoja juu ya toba na barua tatu tu[6].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads