Paskari wa Nantes
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Paskari wa Nantes (pia: Pascharius, Pascaire, Pasquier; alifariki 635 hivi) alikuwa askofu wa 20 wa mji huo huko Bretagne, leo nchini Ufaransa, ambaye aliwakaribisha Ermelandi na wenzake 12 wakaanzishe monasteri katika kisiwa cha Indre [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads