Patapi wa Thebe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Patapi wa Thebe
Remove ads

Patapi wa Thebe (aliishi karne ya 4 hivi) alikuwa mkaapweke katika jangwa la Misri ambaye baada ya miaka michache alihamia Konstantinopoli katika mtaa wa Blacherne alikoanzisha monasteri na hatimaye kufariki dunia muda mrefu baadaye. Alizikwa katika monasteri ya Wamisri [1].

Thumb
Picha takatifu ya Mt Patapi.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Desemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads