Paulina wa Fulda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Paulina wa Fulda (karne ya 1114 Machi 1107) alikuwa mwanamke wa Ujerumani ambaye alifunga ndoa mara mbili.

Baada ya kufiwa mumewe wa pili pia alianzisha monasteri ya Paulinzelle msituni huko Thuringia[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake, 14 Machi[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads