Paulo Lang Fu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Paulo Lang Fu
Remove ads

Paulo Lang Fu (Lu, 1893 hivi - Lujiapo, 16 Julai 1900) alikuwa mtoto wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia pamoja na mama yake Lang Yangzhi.

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Kwa kuwa huyo alijitambulishwa kama Mkristo, nyumba yao ilichomwa moto wao wakiwa ndani [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads