Paulo wa Verdun

From Wikipedia, the free encyclopedia

Paulo wa Verdun
Remove ads

Paulo wa Verdun, O.S.B. (576 - Verdun, Galia Kaskazini, leo Ufaransa, 8 Februari 648) alikuwa askofu wa 13 wa mji huo kuanzia mwaka 626[1] au 630[2], akijitahidi kustawisha liturujia na maisha ya pamoja ya wakanoni.

Thumb
Mt. Paulo wa Verdun.

Kabla ya hapo alifanya kazi ikulu halafu akaishi kama mkaapweke, mmonaki na hatimaye abati[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[3][4][5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads