Pere Ermengol

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pere Ermengol
Remove ads

Pere Ermengol, O. de M. (1238 hivi – 27 Aprili 1304) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki kutoka Tarragona, Catalonia, Hispania ambaye alikwenda Algeria na Moroko kukomboa watumwa akanyongwa kwa ajili ya imani yake asife.

Thumb
Mchoro wa Vicente Carducho ukionyesha Mt. Petro Ermengol alivyookolewa na Bikira Maria baada ya kunyongwa.

Kabla ya hapo aliwahi kuongoza kikosi cha majambazi, lakini baada ya kuongoka alijiunga na Shirika la Bikira Maria wa Mersede na kujitosa katika utekelezaji wa karama yake bila kujali hatari kwa uhai wake[1].

Papa Inosenti XI alimtangaza mwenye heri 28 Machi 1686 halafu mtakatifu tarehe 8 Aprili 1687.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads