Perge

From Wikipedia, the free encyclopedia

Perge
Remove ads

Perge (kwa Kigiriki: Πέργη, Perge, kwa Kituruki: Perge) ulikuwa mji wa Wagiriki wa Kale katika rasi ya Anatolia,[1] uliowahi kuwa makao makuu ya Pamphylia Secunda, sasa katika wilaya ya Antalya, kusini-magharibi mwa pwani ya Mediteranea ya Uturuki.

Thumb
Uwanja wa mji.
Thumb
Uwanja wa michezo.

Kwa sasa ni maghofu tu yanayopatikana km 15 mashariki kwa Antalya. Baadhi ni ya Zama za Shaba.[2]

Mwaka 46 Mtume Paulo na Barnaba walifika mara mbili kuinjilisha huko (Mdo 13:13-14 na 14:25).

Remove ads

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads