Pamfilia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Pamfilia (kwa Kigiriki: Παμφυλία, Pamphylía [1] kwa maana ya mchanganyiko wa watu [2]) lilikuwa eneo kusini mwa Asia Ndogo, katikati ya Lycia na Kilikia. Kaskazini kulikuwa na Pisidia, ambayo chini ya Warumi ilihesabiwa kama sehemu ya Pamfilia kutokana na wakazi kuwa na asili moja.



Eneo hilo la rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki) lilikuwa kati ya bahari ya Mediteranea na Milima ya Taurus kama mkoa wa Antalya leo.
Ni kati ya maeneo yaliyojinjilishwa na Mtume Paulo pamoja na Barnaba.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads