Pamfilia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pamfilia
Remove ads

Pamfilia (kwa Kigiriki: Παμφυλία, Pamphylía [1] kwa maana ya mchanganyiko wa watu [2]) lilikuwa eneo kusini mwa Asia Ndogo, katikati ya Lycia na Kilikia. Kaskazini kulikuwa na Pisidia, ambayo chini ya Warumi ilihesabiwa kama sehemu ya Pamfilia kutokana na wakazi kuwa na asili moja.

Thumb
Ramani ya Dola la Roma ikionyesha Pamfilia kwa rangi nyekundu.
Thumb
Maghofu katika barabara ya Perga, uliokuwa mji mkuu wa Pamfilia.
Thumb
Ramani ya karne ya 15 ikionyesha Pamfilia.
Thumb
Sarafu kutoka Aspendos, Pamfilia.

Eneo hilo la rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki) lilikuwa kati ya bahari ya Mediteranea na Milima ya Taurus kama mkoa wa Antalya leo.

Ni kati ya maeneo yaliyojinjilishwa na Mtume Paulo pamoja na Barnaba.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads