Petro Khanh

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Petro Khanh (1780-1842) alikuwa padri wa Vietnam ambaye, kisha kutambulika kama Mkristo kwenye ofisi ya kodi, alifungwa miezi sita ambapo alikataa daima kuasi imani yake, na hatimaye alikatwa kichwa kwa amri ya kaisari Thieu Tri [1].

Ni mmojawapo kati ya Wakristo wafiadini wa Vietnam waliouawa kwa ajili ya imani yao huko Vietnam katika karne ya 17, 18 na 19 (16251886).

Wanatajwa pia kama Watakatifu Andrea Dũng-Lạc na wenzake 116.

Kwa nyakati tofauti, Papa Leo XIII, Papa Pius X na Papa Pius XII waliwatangaza kuwa wenye heri, halafu Papa Yohane Paulo II aliwaunganisha katika kuwafanya watakatifu wafiadini tarehe 19 Juni 1988.

Sikukuu yao huadhimishwa kwa pamoja kila tarehe 24 Novemba, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 12 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads