Proto wa Aquileia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Proto wa Aquileia
Remove ads

Proto wa Aquileia (alifariki Aquileia, leo nchini Italia, 304) alikuwa Mkristo ambaye aliuawa kutokana na imani yake wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano wa Dola la Roma[1].

Thumb
Kifodini cha Kansyo, Kansiano na Kansyanila.

Anatajwa kama mlezi wa ndugu Kansyo, Kansyano na Kansyanila[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 14 Juni[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads