Kereng'ende (ndege)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kereng'ende (ndege)
Remove ads

Kereng'ende ni ndege wa jenasi Pternistis katika familia Phasianidae. Huitwa kwale pia pamoja na spishi nyingine za nusufamilia Perdicinae. Kwa sababu jenasi hiyo inatambuliwa kuwa na nasaba mbali kidogo na jenasi zile nyingine, sasa jina kereng'ende linapendelewa.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Rangi yao ni kahawia au kijivu na wana michirizi au madoa. Ngozi ya koo na pande zote za macho ni kichele na ina rangi ya manjano, ya machungwa au nyekundu. Huonekana zaidi kuliko spishi nyingine za kwale. Chakula chao ni mbegu, wadudu na nyungunyungu. Hutaga mayai matatu hadi nane ardhini pengine juu ya manyasi makavu.

Spishi zote zinatokea Afrika.

Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads