Q-Tip

From Wikipedia, the free encyclopedia

Q-Tip
Remove ads

Kamaal Ibn John Fareed (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Q-Tip, amezaliwa na jina la Jonathan Davis; 10 Aprili 1970) ni msanii wa muziki wa hip hop kutoka mjini St. Albans, Queens, New York huko Marekani. Ni mmoja kati ya wanachama matata kabisa wa kundi zima la hip hop la A Tribe Called Quest.

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Jina la kuzaliwa ...

John Bush wa Allmusic anamwita "rapa/mtayarishaji mahiri katika historia nzima ya hip-hop,"[1] wakati wahariri wa About.com wamemweka katika orodha yao ya 50-Bora ya Watayarishaji wa Hip-Hop,[2] na vilevile kumweka katika orodha yao ya Ma-MC Bora-50 wa Kipindi Chetu (1987–2007).[3] Mwaka wa 2012, jarida la The Source wamemweka nafasi ya 20 katika orodha yao ya Washairi 50 Bora wa Muda Wote.[4]

Remove ads

Kazi

A Tribe Called Quest

Kazi za kujitegemea

Diskografia

Makala kuu: Diskografia ya Q-Tip
  • 1999: Amplified
  • 2008: The Renaissance
  • 2009: Kamaal/The Abstract
  • 2013: The Last Zulu

Filmografia

  • 1993: Poetic Justice
  • 1999: Love Goggles
  • 2000: Disappearing Acts
  • 2001: Prison Song
  • 2002: Brown Sugar
  • 2004: She Hate Me
  • 2008: Cadillac Records
  • 2010: Holy Rollers

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads