Ragenfrida

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ragenfrida
Remove ads

Ragenfrida (pia: Renfroie, Rainfroye, Refroye, Ragenfréde, Ragenfredis; karne ya 8 - 805 hivi), alikuwa mwanamke wa Ufaransa wa leo aliyeanzisha monasteri huko Denain, na kuiongoza vizuri kama abesi[1].

Thumb
Sanamu yake huko Denain.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Oktoba[2].

Alikuwa mtoto wa wazazi wa koo mashuhuri, ambao pia wanaheshimiwa kama watakatifu Adalberto II wa Ostrevent na Rejina.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads