Ramon Nonat

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ramon Nonat
Remove ads

Ramon Nonat[1], O. de M. (Portell, 1204Ngome ya Cardona, 31 Agosti 1240) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Catalonia, Hispania.

Thumb
Mt. Ramon Nonat akilishwa na malaika alivyochorwa na Eugenio Caxés, 1630.

Kadiri ya karama ya shirika lake, ambamo mwenyewe alikuwa kati ya wafuasi wa kwanza wa Petro Nolasco, alikwenda mara mbili Algeria kukomboa watumwa akajitoa kutekwa mwenyewe hadi malipo yatakapokamilika[2]. Kwa ajili hiyo aliteseka sana kwa jina la Yesu [3].

Papa Aleksanda VII alimtangaza mtakatifu mwaka 1657.

Sikukuu yake huadhimshwa tarehe ya kifo chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads