Rembati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rembati
Remove ads

Rembati (Flandria, 830Bremen, Ujerumani, 11 Juni 888) alikuwa askofu mmisionari wa Hamburg na Bremen kuanzia mwaka 862.

Thumb
Mt. Ansgari akiwahubiri Waswidi.

Alifanya kazi ya kueneza Injili Ujerumani Kaskazini, Udani na Uswidi kwa kufuata mfano wa rafiki na mtangulizi wake Ansgar Mtakatifu[1][2].

Ndiye aliyeandika habari za maisha yake katika kitabu kilichoenea sana katika Karne za kati [3].

Pia alikomboa Wakristo waliotekwa na Wanormani wavamizi.

Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 11 Juni[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads