Ansgar Mtakatifu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ansgar Mtakatifu
Remove ads

Mtakatifu Ansgar (Amiens, Ufaransa, labda 8 Septemba 801Bremen, Ujerumani, 3 Februari 865) alikuwa askofu mmisionari huko Skandinavia.

Thumb
Mt. Ansgari akiwahubiri Waswidi.

Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni 3 Februari[1].

Maisha

Ansgar alijiunga na monasteri huko Corbie.

Mwaka 826 alikwenda kuhubiri Injili nchini Denmark, ambako hakufanikisha sana, hivyo akaenda Uswidi.

Alikuwa askofu wa Hamburg, halafu akaongezewa Bremen pia, upande wa kaskazini wa Ujerumani. Ndipo alipofariki kutokana na uchovu wa kazi zake, Pia alikuwa balozi wa Papa Gregori IV katika Denmark na Uswidi[2].

Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya uenezaji Injili, asikate tamaa.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads