Robati wa Chaise-Dieu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Robati wa Chaise-Dieu
Remove ads

Robati wa Chaise-Dieu (pia: wa Turlande; Auvergne, Ufaransa, 1000 hivi - Chaise-Dieu, Ufaransa, 17 Aprili 1067) alikuwa mmonaki padri, maarufu kwa kuanzisha monasteri ya La Chaise Dieu wa shirika la Benedikto wa Nursia alipokuwa anaishi kwanza kama mkaapweke, na kwa juhudi zake kwa ajili ya fukara [1][2][3].

Thumb
Sanamu yake.

Pia alimpatia Mungu watu wengi kwa mahubiri na kwa mfano wa maisha yake.

Alitangazwa na Papa Klementi VI kuwa mtakatifu tarehe 19 Septemba 1531[4].

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 17 Aprili[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads