Papa Klementi VI
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Klementi VI (takriban 1291 – 6 Desemba 1352) alikuwa Papa kuanzia tarehe 7/19 Mei 1342 hadi kifo chake[1]. Alitokea Maumont, Ufaransa[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pierre Roger.
Alimfuata Papa Benedikto XII akiwa Papa wa nne aliyetawala kutoka mji wa Avignon (leo nchini Ufaransa) akafuatwa na Papa Innocent VI.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads