Papa Klementi VI

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Klementi VI
Remove ads

Papa Klementi VI (takriban 12916 Desemba 1352) alikuwa Papa kuanzia tarehe 7/19 Mei 1342 hadi kifo chake[1]. Alitokea Maumont, Ufaransa[2].

Thumb
Papa Klementi VI.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Pierre Roger.

Alimfuata Papa Benedikto XII akiwa Papa wa nne aliyetawala kutoka mji wa Avignon (leo nchini Ufaransa) akafuatwa na Papa Innocent VI.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads