Roderiko Aguilar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Roderiko Aguilar
Remove ads

Roderiko Aguilar (kwa Kihispania Rodrigo Aguilar Alemán, Sayula, 13 Mei 1875 - Ejutla, Jalisco, Mexico, 28 Oktoba 1927) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko hadi alipouawa bila kesi kwa kutundikwa na askari mtini wakati wa Vita vya Wakristero. Hivyo alijaliwa kufia dini yake kama alivyotamani sana [1].

Thumb
Roderiko Aguilar

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu mtakatifu mfiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzake 24 waliofia dini katika vita hivyo[2]:

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei ila ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads