Romariki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Romariki
Remove ads

Romariki (alifariki Remiremont, leo nchini Ufaransa, 653) alikuwa mkabaila aliyeishi ikulu kama mshauri wa mfalme Teudebati, lakini baadaye akawa mmonaki huko Luxeuil na padri aliyeanzisha pamoja na Amato wa Habend monasteri dabo huko Hamend, Bourgogne, akawa abati [1].

Thumb
Sanamu yake ya karne ya 17.

Alitangazwa na Papa Leo IX kuwa mtakatifu tarehe 3 Desemba 1049.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Desemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads