Papa Leo IX
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Leo IX (21 Juni 1002 – 19 Aprili 1054) alikuwa Papa kuanzia tarehe 2 au 12 Februari 1049 hadi kifo chake[1]. Alitokea Alsace, leo nchini Ufaransa[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bruno wa Eguisheim-Dagsburg[3].
Alimfuata Papa Damaso II akafuatwa na Papa Viktor II.
Akielekea Roma kwa ajili ya kutawazwa, alikutana na abati Hugo wa Cluny na kumchukua mmonaki Hildebrando ambaye akaja kuwa Papa Gregori VII[4].
Alikuwa Papa bora kutoka Ujerumani katika Karne za Kati, akijitahidi kupambana na maovu ya wakati ule[5][6], ingawa kutokana na utawala wake lilitokea farakano na Kanisa la Kigiriki (Farakano la mwaka 1054)[7] .
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads