Roza Eluvathingal

From Wikipedia, the free encyclopedia

Roza Eluvathingal
Remove ads

Roza Eluvathingal (jina la kitawa: Eufrasia wa Moyo Mtakatifu wa Yesu; Kattoor, Kerala, 17 Oktoba 1877 - Ollur, 29 Agosti 1952) alikuwa mtawa Mkarmeli wa Kanisa Katoliki la Kisiria la Malabar nchini India.

Thumb
Kitanda alipofariki, sasa katika ukumbusho.

Alitangazwa mwenye heri na askofu mkuu kabisa wa Kanisa hilo, Varkey Vithayathil, tarehe 3 Desemba 2006 akatangazwa mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 23 Novemba 2014[1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads