Roza Zhao

From Wikipedia, the free encyclopedia

Roza Zhao
Remove ads

Roza Zhao (Zhaojia, 1878 hivi - Zhaojia, mnamo Julai 1900) alikuwa mwanamke katekista wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa.

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Pamoja na mama yake Maria Zhao Guozhi na mdogo wake Maria Zhao alijitupa kisimani wasije wakabakwa, lakini walitolewa nje, wakauawa na kuchomwa moto[1]

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 20 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads