Maria Zhao

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria Zhao
Remove ads

Maria Zhao (Zhaojia, 1883 hivi - Zhaojia, mnamo Julai 1900) alikuwa msichana wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa.

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Pamoja na mama yake Maria Zhao Guozhi na dada yake Roza Zhao alijitupa kisimani wasije wakabakwa, lakini walitolewa nje, wakauawa na kuchomwa moto[1]

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 20 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads