Rudesindo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rudesindo
Remove ads

Rudesindo (pia: Rosendo; Santo Tirso, Ureno, 26 Novemba 907 - Celanova, Hispania, 1 Machi 977) alikuwa mapema mmonaki, akawa askofu wa Mondonyedo - Dumio akiwa na umri wa miaka 18 kuanzia 925 hadi 950, halafu 955-958, lakini pia gavana 955-969.

Thumb
Sanamu ya Mt. Rudesindo.

Kati ya juhudi zake, kuna uanzishaji wa monasteri kadhaa na kuongoza jeshi dhidi ya wavamizi Waarabu na Wanormani.

Mwaka 968 hadi 977 alikabidhiwa jimbo lingine akawa abati wa Celanova, alipotembelewa na watu wengi kwa ajili ya ushauri[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Machi[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads